Demoniac, Valhalla, Tempered, SG, The Pure, Diamond... you obviously want the CBBE variant, and beefy hardware if you want 8K skins. If your PC is on an older side, consider going with 2K textures instead. Aaaand finally, we get to CBBE 3BA. You really should go through its description in detail. Instructions are quite comprehennsive.
Diamond alirelease nyimbo yake ya nne na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza na pekee kujaza Club Maisha hadi watu kushindwa kuingia na hata wengine kuzimia baada kutokupata hewa ya kutosha kutokna na wingi ujaaji huo.
Wananchi mtandaoni waiwakia kampuni ya Pepsi kumuondoa Diamond kama balozi wake watishia kutokunywa pepsi. Hasira za wananchi je, zinaweza kupelekea vituo vya kampuni hio kulengwa kwenye maandamano yajayo ?
PostGE2025 Diamond: Mungu azilaze pema roho za waliotangulia DuaZaMama Nov 4, 2025 diamond platnumz mungu azilaze pema Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images Kampuni kubwa inayojulikana kimataifa kwa upigaji picha za wasanii wakubwa na matukio makubwa, Getty Images, imetangaza rasmi kuuza picha moja ya Diamond Platnumz kwa $499 (Tsh Milioni 1.3/=)...
Wakenya wajanja sana. Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii Diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba. Paap akaingia kwenye mfumo kwa kuvunja mkataba na sasa anaelekea kudaiwa mabilioni kama fidia.
hatutegemei show za Tanzania.Bila atashow sisi tutakula atakama ni miaka kumiKwasasa diamond anategemea sana biashara zake” Mama Dangote NENO Moja kwa mama Dangote
Kama kuna nia ya dhati ya kuitangaza kilimanjaro marathon iwe upgraded na kuwa kilimanjaro diamond league na serikali ipambane iingie kwenye calender ya diamond league Kinachotakiwa ni kuboresha miundombinu kwa kujenga uwanja wa kisasa eneo ambalo litakuwa Zuri ni uwanja wa memorial ambako kwa...
Diamond akisalimiana na mtasha kwa ishara ya Kifreemason. Stori: Shakoor Jongo na Erick Evarist SIRI imefichukua kuwa madai kwamba kichaa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul Jumaa Diamond Platnumz ni memba wa jamii ya siri inayodaiwa kumwabudu shetani, Freemason a.k.a Wajenzi Huru zilianza...
Msanii wa Bongo Fleva, Zuchu, ameandika barua ya wazi kwa Diamond Platnumz akilalamikia unyanyasaji wa mara kwa mara kutoka kwa taasisi yake Wasafi FM, kupitia maudhui ya kipindi cha Mashamsham. Zuchu amesema maudhui hayo yameathiri sanaa na afya yake ya akili, licha ya uwekezaji mkubwa wa...